Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwakilishi Mkaazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), Elke Wisch kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwa Waziri Mkuu, bungeni jijini Dodoma, Mei 14, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)